Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN episode artwork

EPISODE · Apr 15, 2026 · 3 MIN

Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Flora Nducha

Leo ni miaka mitatu kamili tangu vita vilipoanza nchini Sudan 15 Aprili 2023, mgogoro ambao umegeuka kuwa moja ya majanga makubwa zaidi ya kibinadamu duniani. Mamilioni ya watu wamekwama katikati ya mapigano, kuwa wakimbizi wa ndani na nje, njaa na ukosefu wa makazi, huku mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa yakionya kuwa mateso yanaendelea kuongezeka kila uchao. Flora Nducha na taarifa zaidi

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Apr 15, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN

0:00 3:30

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 3 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on April 15, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!