EPISODE · Apr 15, 2026 · 3 MIN
Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Flora Nducha
Leo ni miaka mitatu kamili tangu vita vilipoanza nchini Sudan 15 Aprili 2023, mgogoro ambao umegeuka kuwa moja ya majanga makubwa zaidi ya kibinadamu duniani. Mamilioni ya watu wamekwama katikati ya mapigano, kuwa wakimbizi wa ndani na nje, njaa na ukosefu wa makazi, huku mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa yakionya kuwa mateso yanaendelea kuongezeka kila uchao. Flora Nducha na taarifa zaidi
Embed this episode
NOW PLAYING
Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.