EPISODE · Jun 13, 2026
Michuano ya kombe la dunia, hali ya Ebola kwenye ukanda
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Ni wiki ambayo imegubikwa na maandamano kadhaa nchini huko Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, huko Nanyuki nchini Kenya, na watu kutoka nchi kadhaa za Afrika kuihama Afrika Kusini kutokana na ongezeko la chuki dhidi ya wageni, lakini kubwa kabisa wiki hii lililotikisa ulimwengu ni michuano ya kombe la dunia ya mwaka wa 2026 iliyong’oa nanga huko Marekani, Mexico na Canada, bila kuisahau ziara ya Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Leo wa Kumi na nne huko Uhispania.-Naitwa Ruben Lukumbuka,
Embed this episode
NOW PLAYING
Michuano ya kombe la dunia, hali ya Ebola kwenye ukanda
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.