Msemaji wa waasi wa M23 aliuawa, Kenya yazindua dawa mpya ya Lenacapavir episode artwork

EPISODE · Feb 28, 2026

Msemaji wa waasi wa M23 aliuawa, Kenya yazindua dawa mpya ya Lenacapavir

from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili

Matukio makubwa ya juma hili ni pamoja na kuuawa kwa msemaji wa kijeshi wa kundi la waasi la M23 Willy Ngoma, serikali ya Kenya ilizindua zoezi la usambazaji wa dawa ya kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi, LENACAPAVIR, UN ulisema taifa la Sudan Kusini, linatoa hifadhi kwa wakimbizi zaidi elfu 64, watu 25 waliuawa katika jimbo la Adamawa, kaskazini mashariki mwa Nigeria, pia awamu ya tatu ya mazungumzo ya kidiplomasia kuhusu mradi wa Nyuklia wa Iran, yalifanyika juma hili huko  Geneva Uswiz

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Feb 28, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Msemaji wa waasi wa M23 aliuawa, Kenya yazindua dawa mpya ya Lenacapavir

0:00 0:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

Frequently Asked Questions

When was this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode published?

This episode was published on February 28, 2026.

Can I download this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!