EPISODE · Apr 29, 2026 · 2 MIN
Nimesahau yaliyopita na naganga yajayo baada ya kuuawa kwa baba yangu - Rwibutso
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Eugene Uwimana
Siku 100 za maombelezo ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda dhidi ya Watutsi yaliyofanyika yapata miaka 32 iliyopita zikiendelea . Leo tunakupeleka mjini Kigali nchini Rwanda kwenye Ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kwake Eugene Uwimana afisa habari wa ofisi hiyo ili kupata simulizi ya ya kijana anayemuenzi baba yake aliyekuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa ambaye aliuawa katika mauaji hayo ya kimbari. Jina la baba huyo ni Emmanuel Turatsinze
Embed this episode
Ready to play
Nimesahau yaliyopita na naganga yajayo baada ya kuuawa kwa baba yangu - Rwibutso
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.