“Nitaachia ngazi” WFP baada ya miezi mitatu: Cindy McCain episode artwork

EPISODE · Feb 27, 2026 · 3 MIN

“Nitaachia ngazi” WFP baada ya miezi mitatu: Cindy McCain

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Flora Nducha

Kiongozi wa shirika kubwa zaidi la msaada wa chakula duniani ametangaza kujiuzulu. Bi. Cindy McCain, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP amesema atajiuzulu wadhifa wake huo  baada ya miezi mitatu ili kuzingatia afya yake, akisema bado hajapona kikamilifu baada ya kupata kiharusi mwaka jana 2025. Flora Nducha na taarifa zaidi

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Feb 27, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

“Nitaachia ngazi” WFP baada ya miezi mitatu: Cindy McCain

0:00 3:05

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 3 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on February 27, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!