EPISODE · Apr 29, 2026 · 2 MIN
Rwanda ni miongoni mwa mataifa yaliyopiga hatua kukabiliana na homa ya ini
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Assumpta Massoi
Mapambano ya kimataifa dhidi ya homa ya ini ya virusi aina ya B na C yanaanza kuonesha mafanikio, imesema ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO, iliyotolewa Aprili 28, 2026. Ripoti hiyo, imezinduliwa wakati wa Mkutano wa Kimataifa wa Homa ya Ini mjini Bangkok, Thailand, mkutano ulioingia leo siku ya pili na unakunya jamvi kesho. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.
Embed this episode
Ready to play
Rwanda ni miongoni mwa mataifa yaliyopiga hatua kukabiliana na homa ya ini
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.