Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon episode artwork

EPISODE · Apr 11, 2026

Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon

from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili

Maadhimisho ya siku 100 maarufu kama kwibuka kukumbuka mauaji ya mwaka 1994 nchini Rwanda, mwanadiplomasia wa Marekani James Swan kuanza kazi kama mkuu wa Monusco huko DRC, mazungumzo kati ya serikali ya nchi hiyo na waasi wa M23 kufanyika kule Geneva Uswiz chini ya upatanishi wa Qatar, hali ya kisiasa nchini Kenya na Tanzania, na sudan; kampeni za uchaguzi mkuu nchini Benin kutamatishwa kuelekea siku ya jumapili ya aprili 12 na mashambulizi ya jeshi la Israeli huko Lebanon

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Apr 11, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon

0:00 0:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

Frequently Asked Questions

When was this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode published?

This episode was published on April 11, 2026.

Can I download this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!