EPISODE · Apr 11, 2026
Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Maadhimisho ya siku 100 maarufu kama kwibuka kukumbuka mauaji ya mwaka 1994 nchini Rwanda, mwanadiplomasia wa Marekani James Swan kuanza kazi kama mkuu wa Monusco huko DRC, mazungumzo kati ya serikali ya nchi hiyo na waasi wa M23 kufanyika kule Geneva Uswiz chini ya upatanishi wa Qatar, hali ya kisiasa nchini Kenya na Tanzania, na sudan; kampeni za uchaguzi mkuu nchini Benin kutamatishwa kuelekea siku ya jumapili ya aprili 12 na mashambulizi ya jeshi la Israeli huko Lebanon
Embed this episode
NOW PLAYING
Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.