Tunawapatia huduma na twatumai wote watapona- Dkt. wa Ebola DRC episode artwork

EPISODE · Jul 29, 2026 · 2 MIN

Tunawapatia huduma na twatumai wote watapona- Dkt. wa Ebola DRC

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Priscilla Lecompte

Kulingana na ripoti mpya kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa, mlipuko wa sasa wa Ebola ya Bundibugyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) umekuwa mmoja wa milipuko mibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo. Huko Bunia, jimboni Ituri ambako ni kitovu cha mlipuko wa sasa wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu wakiwemo madaktari wanaongeza juhudi zao za kuwahudumia wagonjwa wakati huu ambapo ripoti zinasema watu zaidi ya 500 wamepona Ebola ya sasa.  wanajamii ili kuzuia kuenea zaidi kwa ugonjwa huo.  Priscilla Lecomte aliyeko kwenye timu ya Mratibu Mkuu wa Ebola wa Umoja wa Mataifa, Julien Harneis, amezungumza na mmoja wa madaktari.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Jul 29, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Tunawapatia huduma na twatumai wote watapona- Dkt. wa Ebola DRC

0:00 2:54

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 2 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on July 29, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!