EPISODE · Aug 15, 2026
Uchaguzi wa nchini Zambia, siasa za DRC, Kenya naTanzania kushika kasi
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Uchaguzi wa urais na wabunge ulivyofanyika nchini Zambia wiki hii, na sasa wananchi wanasubiri matokeo rasmi, baada ya vurugu za siku ya Ijumaa, rais wa Kenya William Ruto aliongoza mazungumzo kuhusu ruwaza ya Kenya 2060, muungano wa upinzani nchini DRC watishia kuitisha maandamano kupinga marekebisho ya katiba; tutaangazia siasa za Tanzania, Sudan, Washington kuiwekea vikwazo Iran kuhusu udhibiti wa mlango Bahari wa Hormuz.
Embed this episode
Ready to play
Uchaguzi wa nchini Zambia, siasa za DRC, Kenya naTanzania kushika kasi
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.