EPISODE · Jun 6, 2026
Ufaransa yazindua mnara wa kumbukumbu ya genocide Rwanda, mgomo wa kitaifa DRC
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Ufaransa yazindua mnara wa ukumbusho wa mauaji ya kimbari huko Rwanda kwenye jiji la Paris, wapinzani wa DRC juni 03 waliitisha mgomo wa kitaifa, watu zaidi ya kumi waliuawa katika shambulio lililotekelezwa na waasi wa ADF huko Mbau wilaya ya Beni mashariki mwa DRC tunaangazia hotuba ya rais wa Uganda kwa taifa, ziara ya rais wa Tanzania huko Urusi, Afrika kusini kudai kuwa hakuna ubaguzi wala chuki dhidi ya wageni nchini mwake, hali ya Afrika magharibi, na mgogoro wa Ukraine na Urusi
Embed this episode
NOW PLAYING
Ufaransa yazindua mnara wa kumbukumbu ya genocide Rwanda, mgomo wa kitaifa DRC
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.