Uhaba wa maji watishia mafanikio ya SDGs – Guterres episode artwork

EPISODE · Jul 13, 2026 · 3 MIN

Uhaba wa maji watishia mafanikio ya SDGs – Guterres

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Assumpta Massoi

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameonya kwamba dunia ipo nyuma katika kutekeleza ahadi zake kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama na huduma za kujisafi. Hivyo basi amezitaka serikali, sekta binafsi na jamii kuchukua hatua za haraka kukabiliana na uhaba unaoongezeka wa maji, uchafuzi wa mazingira na shinikizo linalotokana na mabadiliko ya tabianchi. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Jul 13, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Uhaba wa maji watishia mafanikio ya SDGs – Guterres

0:00 3:29

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 3 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on July 13, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!