EPISODE · Jul 13, 2026 · 3 MIN
Uhaba wa maji watishia mafanikio ya SDGs – Guterres
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Assumpta Massoi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameonya kwamba dunia ipo nyuma katika kutekeleza ahadi zake kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama na huduma za kujisafi. Hivyo basi amezitaka serikali, sekta binafsi na jamii kuchukua hatua za haraka kukabiliana na uhaba unaoongezeka wa maji, uchafuzi wa mazingira na shinikizo linalotokana na mabadiliko ya tabianchi. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.
Embed this episode
NOW PLAYING
Uhaba wa maji watishia mafanikio ya SDGs – Guterres
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.