EPISODE · Mar 28, 2026
UN yasikitishwa na hali mashariki mwa DRC, miili 33 yagunduliwa nchini Kenya
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Miongoni mwa yaliyojiri wiki hii ni pamoja na baraza la usalama la umoja wa mataifa lataka kufunguliwa upya kwa viwanja vya ndege kwenye miji ya Goma na Bukavu mashariki mwa DRC, kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine alisema uhuru wake sio mjadala, miili 14 ilipatikana iliyopatikana nchini Kenya kufanyiwa upasuaji kubaini chanzo cha vifo. utambuzi wa utumwa kuwa uhalifu dhidi ya haki za ubinadamu, na rais Trump, aahirisha mpango wake wa kushambulia vinu vya nishati vya Iran
Embed this episode
NOW PLAYING
UN yasikitishwa na hali mashariki mwa DRC, miili 33 yagunduliwa nchini Kenya
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.