EPISODE · May 11, 2026 · 4 MIN
UN yawekeza dola milioni 340 Nairobi kuimarisha kitovu chake barani Afrika
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Stella Vuzo
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres yuko ziarani nchini Kenya kushuhudia uwekezaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa wenye thamani ya karibu dola milioni 340 katika makao yake makuu jijini Nairobi. Uwekezaji huo unaelezwa kuwa moja ya miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ambayo Umoja wa Mataifa umewahi kufanya barani Afrika. Stella Vuzo kutoka kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi anafuatilia zira hiyo na hii hapa taarifa yake.
Embed this episode
Ready to play
UN yawekeza dola milioni 340 Nairobi kuimarisha kitovu chake barani Afrika
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.