UN yawekeza dola milioni 340 Nairobi kuimarisha kitovu chake barani Afrika episode artwork

EPISODE · May 11, 2026 · 4 MIN

UN yawekeza dola milioni 340 Nairobi kuimarisha kitovu chake barani Afrika

from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Stella Vuzo

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres yuko ziarani nchini Kenya kushuhudia uwekezaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa wenye thamani ya karibu dola milioni 340 katika makao yake makuu jijini Nairobi. Uwekezaji huo unaelezwa kuwa moja ya miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ambayo Umoja wa Mataifa umewahi kufanya barani Afrika. Stella Vuzo kutoka kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi anafuatilia zira hiyo na  hii hapa taarifa yake.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published May 11, 2026

Embed this episode

Ready to play

UN yawekeza dola milioni 340 Nairobi kuimarisha kitovu chake barani Afrika

0:00 4:02

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

No similar podcasts found.

Frequently Asked Questions

How long is this episode of Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu?

This episode is 4 minutes long.

When was this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode published?

This episode was published on May 11, 2026.

Can I download this Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!