EPISODE · Mar 13, 2026 · 2 MIN
UNICEF: Mradi wa intaneti shuleni waleta mapinduzi ya kidijitali nchini Kenya
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Rashid Malekela
Maelfu ya wanafunzi katika eneo la Kajiado nchini Kenya wameanza kunufaika na mradi wa kusambaza intaneti shuleni uitwao ‘Last Mile Connectivity’. Mradi huu unalenga kuboresha ujuzi wa kidijitali na matokeo ya masomo kwa wanafunzi ili kuwaandaa na maisha ya baadaye, huku shule 1,000 zikitarajiwa kufikiwa. Rashid Malekela amefuatilia maendeleo ya mradi huo katika shule za Enkasiti na Moipei, na hii hapa ni taarifa yake.
Embed this episode
Ready to play
UNICEF: Mradi wa intaneti shuleni waleta mapinduzi ya kidijitali nchini Kenya
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.