EPISODE · Mar 11, 2026 · 3 MIN
Vijana wachagiza hatua za haraka kuhusu haki za wanawake katika mkutano wa CSW70
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Flora Nducha
Mkutano wa 70 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani CSW70 leo unaendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa New York ukiwa umeingia siku ya 3. Na vijana hawakusahaulika wamepewa nafasi ya kutoa maoni yao na mapendekezo yao kuhusu maudhui ya mwaka huu ambayo yanasisitiza umuhimu wa kuchukuliwa kwa hatua madhubuti kuhusu haki za wanawake, usawa wa kisheria na ushiriki wa vijana. Flora Nducha amekutana na baadhi yao kusikia maoni yao
Embed this episode
Ready to play
Vijana wachagiza hatua za haraka kuhusu haki za wanawake katika mkutano wa CSW70
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.