EPISODE · Apr 4, 2026
Waasi wa ADF waua 40 mashariki mwa DRC, Iran yapuuzi vitisho vya Trump
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Miongoni mwa matukio makubwa yaliyojiri wiki hii ni pamoja na timu ya taifa ya soka ya DRC Leopards kufuzu kushiriki fainali ya michuano ya kombe la dunia 2026, shambulio la waasi wa ADF laua 30 mashariki mwa DRC, watoto wanne wadungwa kisu hadi kufa katika shule moja nchini Uganda, wapigakura wahamasishwa kujiandikisha nchini Kenya na kupanda kwa bei ya mafuta, kuapishwa kwa rais wa Jamhuri ya afrika ya kati, vitisho vya Trump kuhusu mlango bahari wa Hormuz
Embed this episode
NOW PLAYING
Waasi wa ADF waua 40 mashariki mwa DRC, Iran yapuuzi vitisho vya Trump
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.