EPISODE · Jun 30, 2026 · 6 MIN
Wajerumani na Waholanzi watupwa nje ya Kombe la Dunia 2026
from SBS Swahili - SBS Swahili
Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao muda mfupi kabla ya kipenga cha mwisho.
What this episode covers
Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao muda mfupi kabla ya kipenga cha mwisho.
NOW PLAYING
Wajerumani na Waholanzi watupwa nje ya Kombe la Dunia 2026
No transcript for this episode yet