EPISODE · Apr 15, 2026 · 3 MIN
Wanadiplomasia wanakutana kusaka suluhu ya vita Sudan ikiingia mwaka wa 4
from Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu · host Leah Mushi
Wakati vita nchini Sudan ikiingia mwaka wa nne tangu kuvuka kwa mapigano baina ya jeshi la Sudan na kikosi vya msaada wa haraka RSF, hii leo huko Berlin nchini Ujerumani unafanyika mkutano wa Kimataifa ukilenga kurejesha mgogoro wa Sudan katika ajenda ya juu ya kidiplomasia duniani. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mush
Embed this episode
NOW PLAYING
Wanadiplomasia wanakutana kusaka suluhu ya vita Sudan ikiingia mwaka wa 4
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.