Watu zaidi ya 20 kuuawa mashariki mwa DRC, mchakato wa katiba mpya Tanzania episode artwork

EPISODE · Jul 25, 2026

Watu zaidi ya 20 kuuawa mashariki mwa DRC, mchakato wa katiba mpya Tanzania

from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili

Shambulio la ADF laua zaidi ya 20 mashariki mwa DRC, ziara ya waziri mkuu Judith Suminwa huko Ituri, gavana wa zamani wa migori akutwa na hatia ya mauaji, huku rais Ruto akionya kuhusu matumizi ya wahuni kwenye mikutano ya kisiasa, siasa za Tanzania, Sudan na rais wa zamani wa Senegal Macky Sall, kuwasilisha maono yake mbele ya baraza la Umoja wa Mataifa, katibu mkuu wa UN Antonio Guteress atoa wito kwa pande zinazohusika katika mzozo wa mashariki ya kati kutafuta suluhu kupitia diplomasia.

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published Jul 25, 2026

Embed this episode

Ready to play

Watu zaidi ya 20 kuuawa mashariki mwa DRC, mchakato wa katiba mpya Tanzania

0:00 0:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

Frequently Asked Questions

When was this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode published?

This episode was published on July 25, 2026.

Can I download this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!