EPISODE · Aug 14, 2023 · 1 MIN
WETANGULA ASEMA MIGINGO NI KISIWA CHA WAKENYA
Spika wa bunge la taifa Moses Wetangula amesema yakwamba tume ya Pamoja iliyobuniwa na mataifa ya Kenya na Uganda, kwa kutumia michoro ya ramani ya kabla ya uhuru ilibaini wazi yakwamba kisiwa cha Migingo kiko katika ardhi ya Kenya na hivyo basi wavuvi wakenya hawafai kutatizwa na walinda usalama kutoka taifa Jirani la Uganda kila wanapofanya kazi yao ya uvuvi katika kisiwa hicho.Philip Miyawa anaripoti zaidi
What this episode covers
Spika wa bunge la taifa Moses Wetangula amesema yakwamba tume ya Pamoja iliyobuniwa na mataifa ya Kenya na Uganda, kwa kutumia michoro ya ramani ya kabla ya uhuru ilibaini wazi yakwamba kisiwa cha Migingo kiko katika ardhi ya Kenya na hivyo basi wavuvi wakenya hawafai kutatizwa na walinda usalama kutoka taifa Jirani la Uganda kila wanapofanya kazi yao ya uvuvi katika kisiwa hicho.Philip Miyawa anaripoti zaidi
NOW PLAYING
WETANGULA ASEMA MIGINGO NI KISIWA CHA WAKENYA
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
Mar 26, 2026 ·1m
Mar 19, 2026 ·34m
Feb 18, 2026 ·11m
Feb 11, 2026 ·45m