EPISODE · May 16, 2026
Yoweri Museveni aapishwa muhula wa saba Uganda, kongamano la Afrika forward Nairobi
from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili
Miongoni mwa habari kuu za dunia zilizopewa uzito juma hili ni pamoja na kuapishwa kwa rais wa Uganda Yoweri Museveni kwa muhula wa saba, kufanyika na kutamatika kwa mkutano wa Afrika na Ufaransa jijini Nairobi nchini Kenya, kauli ya rais wa Rwanda Paul Kagame akikosoa vikwazo vya Marekani kuhusu nchi yake, eneo la Afrika magharibi hususan Nigeria, Ghana na Mali, lakini pia Ziara ya rais wa Marekani Donald Trump huko China. Ungana na Ruben Lukumbuka, kupata mengi zaidi
Embed this episode
NOW PLAYING
Yoweri Museveni aapishwa muhula wa saba Uganda, kongamano la Afrika forward Nairobi
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.