Yoweri Museveni aapishwa muhula wa saba Uganda, kongamano la Afrika forward Nairobi episode artwork

EPISODE · May 16, 2026

Yoweri Museveni aapishwa muhula wa saba Uganda, kongamano la Afrika forward Nairobi

from Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii · host RFI Kiswahili

Miongoni mwa habari kuu za dunia zilizopewa uzito juma hili ni pamoja na kuapishwa kwa rais wa Uganda Yoweri Museveni kwa muhula wa saba, kufanyika na kutamatika kwa mkutano wa Afrika na Ufaransa jijini Nairobi nchini Kenya, kauli ya rais wa Rwanda Paul Kagame akikosoa vikwazo vya Marekani kuhusu nchi yake, eneo la Afrika magharibi hususan Nigeria, Ghana na Mali, lakini pia Ziara ya rais wa Marekani Donald Trump huko China. Ungana na Ruben Lukumbuka, kupata mengi zaidi

Episode metadata supplied by the publisher feed · Published May 16, 2026

Embed this episode

NOW PLAYING

Yoweri Museveni aapishwa muhula wa saba Uganda, kongamano la Afrika forward Nairobi

0:00 0:00

No transcript for this episode yet

We transcribe on demand. Request one and we'll notify you when it's ready — usually under 10 minutes.

No similar episodes found.

Frequently Asked Questions

When was this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode published?

This episode was published on May 16, 2026.

Can I download this Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii episode?

Yes. Use the download control on the episode player to save the publisher-provided media file.
URL copied to clipboard!