EPISODE · May 11, 2024 · 15 MIN
FURSA YA ZAIDI YA SH. 104 BILIONI, NA JINSI YA KUPATA SEHEMU YA BAJETI HII
from Tenda Radio TZ Podcast · host Tenda Radio TZ
Usiikose hii. Tusikilize upate fursa, ubadili maisha yako kiuchumi. Tenda Radio imekita kambi jijini Arusha, kuzichambua fursa ya bajeti ya zaidi ya Sh. 104 Bilioni zilizowekwa kwenye Mfumo wa NeST na Halmashauri ya Jiji la Arusha, na jinsi wewe unavyoweza kupata sehemu ya bajeti hiyo. Tuko na Mkurugenzi wa Jiji hilo, Mhandisi Juma Hamsini na walioshinda tenda wanafunguka siri ya ushindi. Tufuate Instagram: @tendaradiotz @ppra_tanzania
What this episode covers
Usiikose hii. Tusikilize upate fursa, ubadili maisha yako kiuchumi. Tenda Radio imekita kambi jijini Arusha, kuzichambua fursa ya bajeti ya zaidi ya Sh. 104 Bilioni zilizowekwa kwenye Mfumo wa NeST na Halmashauri ya Jiji la Arusha, na jinsi wewe unavyoweza kupata sehemu ya bajeti hiyo. Tuko na Mkurugenzi wa Jiji hilo, Mhandisi Juma Hamsini na walioshinda tenda wanafunguka siri ya ushindi. Tufuate Instagram: @tendaradiotz @ppra_tanzania
NOW PLAYING
FURSA YA ZAIDI YA SH. 104 BILIONI, NA JINSI YA KUPATA SEHEMU YA BAJETI HII
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
Mar 26, 2026 ·1m
Jan 2, 2026 ·47m
Dec 21, 2025 ·46m