EPISODE · Jul 18, 2024 · 15 MIN
FURSA ZA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA, NEEMA NA ADHABU
from Tenda Radio TZ Podcast · host Tenda Radio TZ
Tenda Radio imefanya mahojiano maalum na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Wakili Msomi Paul T. Kadushi, amefunguka fursa zinazopatikana kwenye sheria mpya ya ununuzi wa umma ya Tanzania. Sheria hii ina fursa nyingi na neema kwa watanzania, lakini pia ameeleza adhabu kwa watakaoikiuka. Hapa kamata fursa za asilimia 70% ya Bajeti ya Serikali ambayo mwaka huu wa fedha inasoma Sh. 49.3 Trilioni
Embed this episode
Ready to play
FURSA ZA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA, NEEMA NA ADHABU
No transcript for this episode yet
Similar Episodes
No similar episodes found.
Similar Podcasts
No similar podcasts found.