PODCAST · religion
29 - APRIL - 2026
by Ushindi sda church
Elder Tumaini Kichambati
-
1
SITAPUNGUKIWA NA KITU
Zaburi 231 Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.6 Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
We're indexing this podcast's transcripts for the first time — this can take a minute or two. We'll show results as soon as they're ready.
No matches for "" in this podcast's transcripts.
No topics indexed yet for this podcast.
Loading reviews...
ABOUT THIS SHOW
Elder Tumaini Kichambati
HOSTED BY
Ushindi sda church
CATEGORIES
Loading similar podcasts...