SBS Swahili - SBS Swahili cover art

All Episodes

SBS Swahili - SBS Swahili — 166 episodes

#
Title
1

Yaliyojiri Afrika:Askari pori watuhumiwa kwa mauaji ya raia Tanzania

2

Taarifa ya Habari:Upinzani wa Mseto watishia kuzuia mabadiliko ya NDIS isipokuwa mwanya wa kodi ya mjane utakapofungwa

3

Makala Leo:Mageuzi ya NDIS yanatarajiwa kuwa sheria ila, wanaharakati wadai makato yata sababisha madhara

4

Can you pick fruit from someone's garden? - Australia Yafafanuliwa:Je, unaweza chuma matunda kutoka bustani ya mtu?

5

Taarifa ya Habari:Wafanyakazi wa kusambaza vyakula kuongezewa mshahara kuanzia leo

6

Makala Leo:Serikali kuwekeza mamilioni katika nyumba za waathiriwa wa unyanyasaji wa majumbani; lakini je, inatosha?

7

SBS Learn Eng Ep 117 Jinsi yakuzungumza kuhusu kukopa vitabu

8

Taarifa ya Habari:Ripoti ya mwisho kuhusu mabadiliko yaliyopendekezwa na Serikali kwa Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu itawasilishwa Bungeni

9

Yaliyojiri Afrika: Uganda na Tanzania za zindua ushirikiano wa nishati

10

Makala Leo:Sensa imekwisha ila, bado hauja chelewa kama hauja jaza fomu yako

11

Taarifa ya Habari:Serikali yawahakikishia watu kwamba Sensa itakuwa salama

12

Yaliyojiri Afrika:Wanariadha wa Uganda watoweka Scotland

13

Makala Leo: Watetezi wa ulemavu waomba mlinzi nakuonya kuhusu 'athari kubwa' mageuzi yanapokaribia

14

Taarifa ya Habari:Wafanya biashara waomba ushirikiano na serikali kabla ifanye mabadiliko katika uhamiaji

15

Taarifa ya Habari:Ofisi ya takwimu ya Australia yahimiza wanao ishi katika nyumba zenye watu wengi wasiwe na hofu kushiriki katika sensa

16

What are my rights if stopped by police in Australia? - Australia Yafafanuliwa:Haki zangu ni zipi kama nitasimamishwa na polisi nchini Australia?

17

SBS Learn Eng Ep 116 Jinsi yakuzungumza kuhusu kumtembelea daktari wa wanyama

18

Taarifa ya Habari:Mfanyabiashara afariki mjini Melbourne baada ya tukio linalo shukiwa kutekelezwa na wezi

19

Yaliyojiri Afrika: DRC yaadhimisha GENOCOST

20

Taarifa ya Habari:Mamia ya watu wakimbia mapigano Tigray na kuingia Sudan

21

Makala Leo:Australia inakabiliwa na 'tsunami ya uharibifu' mkubwa kutokana na mlipuko wa virusi vya homa ya ndege H5

22

Makala Leo:Benki ya Hifadhi yasema wa Australia wengi hawa elewi jinsi viwango vya riba vinavyofanya kazi

23

Taarifa ya Habari

24

Taarifa ya Habari:Kiongozi wa Victoria, ajiuzulu baada ya siku kadhaa za shinikizo dhidi ya uongozi wake

25

Australia Yafafanuliwa:Tamasha ya Garma ni nini, na kwa nini ni muhimu?

26

Makala Leo: Jacinta Allan akataa kujiuzulu, pambano la uongozi wa chama cha Labor cha Victoria likiongezeka kasi

27

Taarifa ya Habari: Kiongozi wa Victoria asisitiza hajiuzulu!

28

Yaliyojiri Afrika:Kenya yapokea tani 4.5 zavifaa vya matibabu vya Ebola kutoka India

29

Taarifa ya Habari: Hatua ya Marekani kuongeza ushuru kwa mauzo ya nje ya Australia yazua ukosoaji

30

Makala Leo:Nini cha kutarajia kutoka kwa mfumo mpya wa tahadhari ya dharura wa Australia

31

Makala Leo:China yaambia Australia iache kuzungumzia Bahari ya Kusini mwa China wakati mvutano ukiongezeka katika Mkutano wa ASEAN

32

Taarifa ya Habari:Waziri Mkuu ataka chama cha Labor, kijitolee kupunguza shinikizo za gharama ya maisha

33

Yaliyojiri Afrika:Kituo chakujitenga cha Ebola nchini Kenya cha wapokea wamarekani 7 kutoka DRC

34

SBS Learn Eng Ep 115 Jinsi yakuzungumza kuhusu kufanya kazi ya ziada

35

Taarifa ya Habari:Waziri Wong aelekea katika kongamano lamawaziri wa mambo ya nje wa ASEAN kuimarisha uhusiano wa Australia na nchi wanachama

36

Australia Yafafanuliwa:Kijana wangu anaweza anza kufanya kazi lini nchini Australia?

37

Makala Leo:Mazoezi muhimu yakimataifa yajeshi yaanza katika Wilaya ya Kaskazini

38

Taarifa ya Habari:Greens wataka makampuni ya mawasiliano nchini kutoa huduma yakuaminika kwa wateja

39

Makala Leo: Mitandao ya teknolojia yaambiwa irekebishe pengo za ulaghai wakujamiana

40

Taarifa ya Habari:Watoto wa Australia kuanza kuamua katika shule ya msingi kama watafuata taaluma za sayansi na teknolojia kwa msaada wa wazazi

41

Makala Leo: Argentina na Uhispania zaishi ndoto zakipekee za Kombe la Dunia

42

Taarifa ya Habari:Ombi latolewa kuharamisha matamshi ya chuki dhidi yawa Aboriginal na wakaazi wa Torres Strait

43

Makala Leo:Ufaransa na Uhispania tayari kwa pambano la nusu fainali

44

Taarifa ya Habari:Vyuo vikuu kukabiliwa na faini kubwa vikishindwa kupambana na ubaguzi wa rangi

45

Makala Leo:Kusini Australia yatoa mpango wakupiga marufuku wahalifu wa vurugu kutoka programu zakuchumbiana

46

Makala Leo:Mashambulizi mapya yashuhudiwa Iran na Marekani zikibishana kuhusu kufunguliwa kwa Hormuz

47

Taarifa ya Habari:Daglo na maafisa wengine wa RSF wahukumiwa adhabu ya kifo

48

Yaliyojiri Afrika: Usalama waimarishwa katika mitaa ya Tanzania

49

Mbappé aiweka Ufaransa katika nusu fainali

50

Taarifa ya Habari:Polisi wachunguza kama kifo katika jimbo la Kusini Australia, kina husishwa na kupotea kwa huduma za Telstra Jumatano

51

Australia Yafafanuliwa: Sensa ya 2026: Unacho stahili jua kuhakikisha una hesabiwa

52

Makala Leo: Waziri Mkuu Albanese aendeleza msukumo wake wakidiplomasia katika Pasifiki

53

Taarifa ya Habari:Unyanyasaji wa kingono unaendelea kutumiwa kama silaha ya kivita DRC

54

Chiry"wasichana wenzangu njooni tuboreshe afya zetu kupitia mpira"

55

Uhispania na Ubelgiji za tinga robo fainali wakati Ronaldo aaga Kombe la Dunia

56

Taarifa ya Habari:Ofisi ya Takwimu ya Australia yazindua kampeni ya tamaduni mbalimbali kabla ya Sensa ya mwezi ujao

57

Makala Leo: Wiki ya NAIDOC ni nini, na nini kimejificha nyuma ya kauli mbiu ya mwaka huu?

58

Makala Leo: Makampuni makubwa ya mtandao wakijamii yatetea sera zao mbele ya Tume ya Kifalme

59

Taarifa ya Habari:Tiba ya majaribio ya Ebola yazinduliwa Mashariki mwa DR Congo

60

SBS Learn Eng Ep 114 Jinsi yakuzungumza kuhusu Sensa na usalama wa data

61

Yaliyojiri Afrika:Mvutano wakidiplomasia waiubuka kati ya Ghana, Nigeria na Afrika Kusini

62

Mtao "Ukosefu wa utulivu wa kiakili na usimamizi mubovu wa mchezo umezigharimu timu za Afrika"

63

Taarifa ya Habari:Serikali ya shirikisho yaongeza gharama ya maombi kwa vitengo kadhaa vya visa za Australia kwa asilimia 25

64

Ureno yavunja mioyo yawa Kroeshia wakati Uhispania yatinga raundi ya 16

65

'Elimu kama chombo cha matumaini': Mwanafunzi mkimbizi Alina kuhusu kujenga upya maisha yake nchini Australia

66

Taarifa ya Habari: Wanafunzi wanane washitakiwa kwa mauaji Kenya

67

DR Congo yawapa mamilioni fahari

68

Taarifa ya Habari: Mamilioni ya Waustralia kuamka kesho Julai 1 kwa mishahara ya juu na kodi ya chini ya mapato

69

Wajerumani na Waholanzi watupwa nje ya Kombe la Dunia 2026

70

Australia Yafafanuliwa: Jinsi yakujiunga na soka jumuishi nchini Australia

71

Taarifa ya Habari: Mkuu wa jeshi azuia shughuli za Nation Media Group nchini Uganda

72

Baranga"nakaribisha wanaume wote katika kongamano maalum, tujadili maswala muhimu kwetu"

73

Taarifa ya Habari:"Sheria tata za mageuzi ya kodi zitawafaidi watu wengi" asema Mweka Hazina wa Shirikisho

74

Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi

75

Australia Yafafanuliwa:Bendera ya watu wa Visiwa vya Torres Strait:Ardhi,Bahari na Watu

76

Taarifa ya Habari:Maelfu wahofiwa wamefariki baada ya tetemeko kubwa la ardhi katika mji mkuu wa Venezuela

77

Can nature help tackle loneliness? - SBS Examines: Je, mazingira ya asili yanaweza kabili upweke?

78

Yaliyojiri Afrika:Kasi yakuenea kwa ugonjwa wa Ebola kwa lazimisha serikali ya Congo kutoa tahadhari

79

Messi aweka rekodi yamuda wote yakufunga magoli katika Kombe la Dunia

80

Taarifa ya Habari:Mpango wa serikali wa kurekebisha NDIS waiweka pabaya bungeni

81

SBS Learn Eng Ep 113 Jinsi yakuzungumza kuhusu chakula cha starehe wakati wa majira ya baridi

82

Makala Leo: Labor yapambana kupitisha bungeni mageuzi ya NDIS na ushuru

83

Taarifa ya Habari:Wanaume wawili wafunguliwa mashtaka baada ya Polisi kunasa tani 2.7 za kokeni nchini Australia

84

Sasisho la Kombe la Dunia siku ya 8:Mexico yatinga hatua ya mchujo na Canada ya andika historia

85

Mafanikio ya Socceroos ya akisi Australia ya kisasa

86

Taarifa ya Habari: Marekani na Iran zasaini mkataba wa kumaliza vita

87

Frank "Kombe hili halitabiriki lakini tuna matumaini makubwa kwa timu za Afrika"

88

Yaliyojiri Afrika: Raia wakigeni waondolewa Afrika Kusini

89

Taarifa ya Habari: Seneti ya DRC yafungua njia ya muhula wa tatu kwa Rais Tshisekedi

90

How should we talk to children about antisemitism? - SBS Examines:Tunastahili zungumzaje na watoto kuhusu chuki dhidi ya Wayahudi?

91

Taarifa ya Habari: Mabadiliko katika kodi ya faida ya mtaji yazua wasiwasi katika makundi ya biashara

92

Mshtuko wa Kombe la Dunia: Uhispania yapigwa breki na Cabo Verde

93

How do charities and individual fundraisers work in Australia? - Australia Yafafanuliwa:Je, mashirika ya kutoa misaada na watu wanao changisha hela hufanyaje kazi nchini Australia?

94

Ujerumani wafanya unyama, Japan na Uholanzi ziki ng'ang'ania alama moja

95

Taarifa ya Habari: Iran yathibitisha vita dhidi ya Marekani na Israel vita isha leo usiku

96

Are electric vehicles worth it in Australia?| Fuel in Focus - Australia Yafafanuliwa:Je magari ya umeme yanafaa nchini Australia?| Mafuta Yalengwa

97

Taarifa ya Habari: HRW: Rwanda na M23 zinawaajiri watu kwa lazima kwenye vikosi vyao

98

MiniPod: Man On! | Words we use - MiniPod: Man On! | Words we use

99

MiniPod: Keep your eye on the ball | Words we use - MiniPod: Keep your eye on the ball | Words we use

100

SBS Learn Eng Ep 112 Jinsi yaku zungumza kuhusu likizo za shule

101

SBS Examine: CVE ni nini?

102

Taarifa ya Habari:Umaarufu wa chama cha One Nation, walazimisha vyama vya kisiasa nchini kubadili mitazamao yao

103

Yaliyojiri Afrika: Swala lakubadilisha katiba lazua mpasuko katika makanisa DR Congo

104

Australia Yafafanuliwa: Nini cha kutarajia unapomtembelea daktari wa mifugo

105

Taarifa ya Habari:Australia yatoa heshima zake kwa hayati Richard Scolyer

106

Chiry "maelezo ya kifo cha Sheila, haya endani na msomo wa mwili wake"

107

Taarifa ya Habari: Upinzani wa mseto wapanga njama yakuzuia kupitishwa kwa sheria ya kodi ya serikali ndani ya Seneti

108

Yaliyojiri Afrika: Duale "serikali haita shauriana na raia kuhusu karantini ya Ebola"

109

Taarifa ya Habari:Mahakama ya Kenya yasimamisha kujengwa kituo cha karantini cha Ebola

110

Most Australians see migration as a benefit. Is economic stress changing the story? - Waaustralia wengi huona uhamiaji kama faida. Je! msongo wa mawazo wa kiuchumi una geuza mtazamo?

111

MiniPod: GOAT | Words we use - MiniPod: GOAT | Words we use

112

MiniPod: GOAT | Maneno tunayo tumia

113

Faith"niliona nikama dunia ime isha na, nilihisi kwamba nimejipoteza pia mimi mwenyewe"

114

Taarifa ya Habari: Upinzani wa shirikisho wakosoa pendekezo la kumpa mweka hazina mamlaka ya kutoa punguzo la kodi ya faida ya mtaji

115

A guide to fuel types in Australia | Fuel in Focus - Australia Yafafanuliwa: Mwongozo kwa aina za petroli nchini Australia | Petroli Yalengwa

116

Makala leo: Popovic afanya maamuzi magumu akitangaza kikosi cha Kombe la Dunia cha Socceroos

117

Taarifa ya Habari: Wagonjwa wa Ebola waanza kupona DR Congo

118

Birori "Tunataka mauaji dhidi ya Wanyamulenge DR Congo yaishe mara moja "

119

Christine "baadhi ya wanawake wame acha kazi kwa sababu yakushindwa kuamuka"

120

Taarifa ya Habari:Chama cha Nationals chataka uchaguzi uitishwe kuhusu hatma ya mageuzi ya kodi ya serikali

121

Makala Leo:'Kwa ajili yetu, kupitia sisi': Ombi la wenyeji la kusema ukweli na uhusiano wakati wa Wiki ya Maridhiano

122

Yaliyojiri Afrika: Wanafunzi 16 waangamia kwenye mkasa wa moto shuleni Kenya

123

Taarifa ya Habari:Polisi wamfungulia mashtaka ya ugaidi, mwanamke aliyerudi Australia kutoka Syria

124

How does political grief affect social cohesion? - SBS Examines: Huzuni yakisiasa inawezaje athiri mshikamano wa kijamii?

125

Australia Yafafanuliwa: Bendera yawa Aboriginal: Alama ya Utambulisho na Kuwa Sehemu ya Jamii

126

Yaliyojiri Afrika: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola nchini DRC yafika 900

127

Taarifa ya Habari:Waziri Mkuu atuliza hofu kuhusu sheria inayo tarajiwa kwa upunguzaji wa kodi ya mtaji

128

SBS Learn Eng Ep 110 Jinsi yaku tafuta viatu vinavyo kufaa

129

Makala leo: Joto kali lawakaribisha mahujaji Macca kwa Hijja ya mwaka huu

130

Taarifa ya Habari: Kasi yaongezwa kuajiri wauguzi waku kabiliana na mlipuko wa Diphtheria

131

Makala Leo: WHO yatangaza dharura ya afya duniani baada ya mlipuko wa Ebola DR Congo na Uganda

132

SBS Learn Eng Ep111 Jinsi yakupata huduma bomba zako nyumbani zikiwa na tatizo

133

Taarifa ya Habari:Serikali ya Shirikisho ya tetea jibu lake kwa mlipuko wa Diphtheria

134

What can be done to stop price gouging during the fuel crisis? - SBS Examines:Nini inaweza fanywa kusimamisha kupandisha bei ya mafuta kwa njia ya unyonyaji?

135

Anne "kina mama wanawezaje sawazisha kuhudumia naku imarisha mali ya familia zao"

136

SBS Examines:Nini inaweza fanywa kusimamisha kupandisha bei ya mafuta kwa njia ya unyonyaji?

137

Taarifa ya Habari: Chama cha Liberal hakifai fuata mwongozo wa chama cha One Nation Andrew McLachlan asema

138

Yaliyojiri Afrika: Seriklai ya DRC kufungua vituo vitatu vya matibabu ya virusi vya Ebola

139

Labor yatetea mabadiliko ya kodi ya nyumba katika bajeti licha ya ukosoaji katika kura za maoni

140

Taarifa ya Habari:Mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda afariki

141

Taarifa ya Habari:Pendekezo la bajeti la upinzani lashtumiwa kuwa na madeni, upungufu wa kifedha, na utengano

142

Australia Yafafanuliwa: Vidokezo vya kupunguza gharama ya petroli |Mafuta Yalengwa

143

Makala leo: Maamuzi magumu kuhusu kupunguzwa kwa NDIS yatawala baada ya kutolewa kwa bajeti ya shirikisho

144

Taarifa ya Habari: Ghana kuwaondoa raia wake 300 wanaoishi Afrika Kusini

145

Yaliyojiri Afrika: Dangote kufungua kiwanda chakusafisha mafuta Kenya

146

Makala leo:Takwimu mpya zafichua malipo duni ya kimfumo kwa wafanyakazi wahamiaji

147

Taarifa ya Habari:Mweka Hazina asema bajeti ijayo ina malengo, akiba na mageuzi makubwa kuliko kawaida

148

Australia Yafafanuliwa:Je ukotayari kwa msimu wa mafua nchini Australia?

149

Taarifa ya Habari: Ugavi wa nyumba utakuwa muhimu katika bajeti ya shirikisho ya kesho serikali ya sema

150

Anne "karibuni tusherehekee utu wa mwanamke, uvumilivu na neema"

151

Taarifa ya Habari:Wanawake watatu wenye uhusiano na kundi la ISIS kufikishwa mahakamani

152

Yaliyojiri Afrika:Rais Tshisekedi adokeza uwezekano wa kuwania muhula wa tatu

153

Makala leo:Akiba dhidi ya matumizi: Chalmers anasema bajeti ijayo ni 'yenye uwajibikaji zaidi'

154

Taarifa ya Habari: Serikali yakana shutuma kwamba inawalenga wawekezaji wa "mama na baba" katika bajeti mpya

155

Yaliyojiri Afrika: Viongozi wa Tanzania na Rwanda kuimarisha ushirikiano wa kikanda

156

Makala leo: Jinsi uchaguzi mdogo wa vijijini unavyoweza ashiria matatizo kwa upinzani wa Australia

157

Taarifa ya Habari: Akiba itazidi matumizi na kodi katika bajeti ijayo Mweka Hazina aeleza taifa

158

Australia Yafafanuliwa: Mbinu zakupunguza gharama ya mafuta

159

Taarifa ya Habari: Upinzani waikosoa Serikali ya Madola kwa kuto fanya yakutosha kuimarisha usalama wa taifa

160

Yaliyojiri Afrika:Vikosi vya ulinzi vya Uganda vya shtumiwa kwa kuwauwa raia na kuwatesa wafuasi wa upinzani

161

Makala leo: Ripoti mpya yataka mkakati wa kitaifa kuhusu Akili Bandia mahali pa kazi

162

Tips to reduce petrol costs | Fuel in Focus - Australia Yafafanuliwa:Mbinu za kupunguza gharama ya petroli | Mafuta Yalengwa

163

Taarifa ya Habari:Burundi yaanza chanjo dhidi ya saratani ya kizazi

164

Makala leo: Matendo yakuzomea yachafua huduma za alfajiri

165

Jinsi yakuanza biashara yako ndogo Australia

166

Mwongozo wako wakubaki salama nakupata baridi wakati wa majira ya joto ya Australia