All Episodes
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu — 132 episodes
14 MEI 2026
Katibu Mkuu Antonio Guterres aaga Muungano wa Afrika na kutoa tathmni ya ushirikiano wa UN-AU
13 MEI 2026
UNDPTanzania yajengea uwezo wasaidizi wa kisheria 126 kisiwani Pemba, ili kutatua migogoro kwa njia mbadala
AfroKids International ni tumaini kwa wanawake wakimbizi barani Ulaya - Farina
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “Payapaya.’’
12 MEI 2026
Akili Mnemba au AI haiwezi kuchukua nafasi ya kuwa mama
Siku ya Kinamama: Mama ni nguzo ya jamii na msingi wa haki za watoto
11 MEI 2026
UN yawekeza dola milioni 340 Nairobi kuimarisha kitovu chake barani Afrika
08 MEI 2026
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "MKUNGUNI."
07 MEI 2026
Miaka 25 ya Jukwaa la Watu wa Asili Tanzania imepiga hatua kutujumuisha - Ole Kulet Mwarabu
Serikali ya Tanzania inajali usawa na haki kwa watu wote kupata huduma kwa usawa - Profesa Malebo
Abiria mwingine amethibitishwa kuwa na ugonjwa wa virusi vya Hanta
06 MEI 2026
UNICEF Tanzania yaongoza kampeni kukomesha adhabu ya viboko shuleni
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Kwendako mema hurudi mema."
05 MEI 2026
Kenya tunashirikiana na mataifa jirani kutokomeza ukeketaji_ Hanna Wendot Cheptumo
WHO Afrika yawatoa hofu wananchi kuhusu Hantavirus
04 MEI 2026
Janga la njaa na mateso vinazidi kutuangamiza, raia nchini Somalia wamweleza Fletcher
30 APRILI 2026
Rwanda ni miongoni mwa mataifa yaliyopiga hatua kukabiliana na homa ya ini
Nimesahau yaliyopita na naganga yajayo baada ya kuuawa kwa baba yangu - Rwibutso
29 APRILI 2026
Mkutano wa WHO kuhusu mifumo ya afya katika kanda ya Afrika umekunja jamvi Nairobi Kenya
Lenga nyota ili ukizikosa uupate mwezi asema Alinda Mashiku, Mhandisi NASA
28 Aprili 2026
Zaidi ya wanawake elfu thelatini na nane wameauawa katika ukanda wa Gaza - Ripoti mpya ya UN Women
Tatizo la ukatili wa kingono kutumika kama silaha ya vita Sudan ni moja ya masuala yenye uharibifu mkubwa na maumivu makali tunayokabiliana nayo - Tonderai Chikuhwa
17 APRILI 2026
Raia wa Beni DRC: Asante TANZQRF-05 kwa kutushika mkono
Simulizi za mateso na matumaini ya wakimbizi wa muda mrefu katika makazi ya wakimbizi ya Kiryandongo Uganda
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “AWALI KUWA HERI SI AJABU”
16 APRILI 2026
UNDP yasaini makubaliano kuwezesha wanawake wasanifu majenzi Tanzania
Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN
15 APRILI 2026
Wanadiplomasia wanakutana kusaka suluhu ya vita Sudan ikiingia mwaka wa 4
Jifunze Kishwahili: Maana za neno "KUDA"
14 APRILI 2026
Kuvurugika kwa meli kupita mlango bahari wa Hormuz kunazua wasiwasi kuhusu bei za chakula na minyororo ya usambazaji duniani
UNMISS yaimarisha ulinzi wa amani Sudan Kusini kwa ukarabati wa barabara Malakal
13 APRILI 2026
FAO nchini Tanzania yapatia wakazi wa Kigoma mafunzo ya vitendo kuhusu lishe bora
UN: Kuanzia Lebanon hadi Sudan kote ni simulizi ya giza la vita na kukimbia makazi
Mwanafunzi Ahmad Omar aongoza mabadiliko ya kijani shule ya Kisiwandui Zanzibar
10 APRILI 2026
Ukatili wa Kijinsia kwa wanariadha nchini Kenya waibua wadau, viongozi - UNFPA
09 APRILI 2026
UNICEF na Benki ya Dunia warejesha matumaini ya elimu kwa watoto nchini Sudan kupitia programu mbadala za kujifunza
Huduma za afya ziko ukingoni kuporomoka kabisa huko Gaza kuliko wakati mwingine wowote
08 APRILI 2026
UN wakaribisha tangazo la Marekani na Iran la kusitisha mapigano
07 APRILI 2026
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Atanguliaye kufika huchagua pa kukaa”
02 APRILI 2026
Ni jukumu la wanawake na wanaume kuendeleza haki za kila mtu - Dkt. Rukia Nzibo
Sadia Yahya, Mwanamke jasiri Sudan anayesongesha amani kwa kutegua mabomu ya ardhini
Ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza huko Mashariki ya Kati - Türk
01 APRILI 2026
Elimu ya haki za kisheria inapaswa kutumia lugha inayoeleweka na jamii - Wakili Mengo
Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "GIDA."
31 MACHI 2026
UN: Hali inaendelea kuwa mbaya Mashariki ya Kati ikikatili zaidi maisha ya watu
Kuwa na orodha ya manunuzi kutasaidia kupunguza utupaji wa chakula
30 MACHI 2026
FAO Kenya yajengea uwezo kaya ili zisiyumbe kiuchumi na kijamii katikati ya ukame
Makpandu: Hofu yatanda kwa wakimbizi wa Sudan walio kambini Makpandu Sudan Kusini
Somalia: FAO na EU warejesha matumaini kwa wakulima kupitia kilimo cha umwagiliaji
Baraza la Haki za Binadamu: Tofauti zozote zilizopo kati ya nchi hazitatatuliwa kwa kuwaua wanafunzi
27 MACHI 2026
JIFUNZE KISWAHILI - NENO: NYAPANYAPA
26 MACHI 2026
Tanzania: FAO na wadau 'wawanoa' maafisa misitu ili kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu
Meli zilizokuwa zikipita Hormuz zilikuwa 129 kwa siku, sasa ni 2 hadi 7 kwa siku: UNCTAD
Azimio lapitishwa kutambua biashara ya utumwa kupitia bahari ya Atlantiki ni uhalifu mkubwa dhidi ya binadamu
25 MACHI 2025
JIFUNZE KISWAHILI: METHALI
24 MACHI 2026
Furaha ni pale ninapoweza kuhudumia familia yangu
Fahamu jinsi serikali ya Kenya inasambaza visima vya maji kwa wananchi
Madhara ya vita vya Israeli/Marekani dhidi ya Iran yazidi kudhihirika
23 MACHI 2026
19 MACHI 2026
Siku katika maisha ya kazi ya Wafaa, Afisa Polisi wa UNMISS nchini Sudan
18 MACHI 2026
FAO yaonya kuwa mgogoro wa Mashariki ya Kati watishia mifumo ya chakula duniani
Vita Mashariki ya Kati, wasiwasi watanda kuhusu nyuklia, usafiri baharini na wengi wayakimbia makazi yao
17 MACHI 2026
“Sauti ya Mama Mukongomani” inamuwezesha na kumlinda mwanamke wa DR Congo: Nelly Mbangu
Raia nchini Iran wanabeba gharama ya vita inayoendelea - Mtaalamu
WFP na wadau wake waboresha maisha ya kijana mkulima nchini Uganda
16 MACHI 2026
Vijana lazima tubadili fikra ili kuleta mabadiliko chanya asema Mary Teye kutoka Ghana - CSW70
UNICEF: Mradi wa intaneti shuleni waleta mapinduzi ya kidijitali nchini Kenya
CSW70 imenifanya niamini mimi ninastahili kutatua changamoto - Kanyesige Imelda
13 MACHI 2026
Guterres awasili nchini Lebanon na kusisitiza sitisho la mapigano
12 MACHI 2026
UNICEF: Tumesikitishwa na kustushwa na kifo cha mwenzetu huko DRC
Vijana wachagiza hatua za haraka kuhusu haki za wanawake katika mkutano wa CSW70
11 MACHI 2026
Wanaume wasiachwe nyuma kwenye harakati za utetezi wa haki za wanawake na wasicha - Osowobi
10 MACHI 2026
Mpango wa MEMKWA Tanzania wampa fursa ya elimu mtoto Sanita
Kunusuru wanawake wenzangu na jamii Gaza inanipa faraja: Alya Abu Shawish
Mkutano wa 70 wa kamisheni ya hali ya wanawake CSW70 waanza
09 MACHI 2026
06 MACHI 2026
05 MACHI 2026
Komesha FGM SASA: Mradi wa kupambana na ukeketaji waleta nuru nchini Kenya
Simulizi ya Ansfrida Prospeli kutoka ukatili hadi kupata haki
Iran: Siku ya tano ya mzozo Iran na Mashariki ya Kati watu waendelea kufurumushwa, mashirika ya UN yatoa usaidizi
04 MACHI 2026
03 MACHI 2026
IAEA yaonya hatari ya nyuklia kadri mzozo Mashariki ya Kati unavyozidi kupamba moto
UNFPA nchini Burundi yasaka usadizi kunusuru afya za wazazi na watoto kambini Busuma
02 MACHI 2026
Matumaini ya maisha mapya kwa watoto katika ukanda wa Gaza yazidi kufifia
Yastaajabisha viongozi kuhaha kukandamizi taasisi za kimataifa za haki - Türk
27 FEBRUARI 2026
Fundi wa magari mwanamke wa UNMISS atunukiwa nishani ya Umoja wa Taifa
“Nitaachia ngazi” WFP baada ya miezi mitatu: Cindy McCain
Je wajua maana ya methali “ANUIAYE KUKUTUKANA HAKOSI MATANGO”
26 FEBRUARY 2026
Ripoti: Msaada wa haraka unahitajika kuinasua Somalia kutumbukia katika njaa
BURUNDI: UNHCR yataka msaada wa dharura kwa wakimbizi walioko na wanaorejea